Monday, October 21, 2013

HIVI NDIVYO BAADHI YA WENYE PESA WANAVYOWADHARAU MASKINI, KWA KUWAFANYIA HAYA



Wadau tukumbuke hali ya maisha huweza kubadilika wakati wowote. Leo waweza kuwa tajiri lakini kesho ukawa masikini.


Endapo unaamini hayo yanaweza tokea wakati wowote, basi huna budi kumuheshimu yule asiye nacho, ulicho nacho wewe sababu wakati wowote unaweza ukawa katika hali aliyonayo mwenzako

Tags:

0 Responses to “HIVI NDIVYO BAADHI YA WENYE PESA WANAVYOWADHARAU MASKINI, KWA KUWAFANYIA HAYA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI