Tuesday, October 8, 2013
MWANAFUNZI WA DARASA LA TATU APIGWA NA BABA WA KAMBO MPAKA KUFA
Tuesday, October 8, 2013 by Unknown
Jamaa anae fahamika kwa jina la Masaka limbu wa hapa Dar amempiga mtoto wake wa kambo mpaka kupoteza maisha, tukio hilo lilitokea jmamosi mida ya saa mbili , Baba huyo alikuwa akikagua madaftari ya shule ya mtoto huyo na kukuta hayajasahihishwa na mwalimu na kuamua kujichukulia hatua na kuanza kumpiga mpaka kifo chake kilivofika....mtoto huyo alikuwa na umri wa miaka tisa..Mtuhumiwa anashikiliwa na Polisi
Tags:
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


0 Responses to “MWANAFUNZI WA DARASA LA TATU APIGWA NA BABA WA KAMBO MPAKA KUFA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.