Tuesday, October 8, 2013

MZEE MAJUTO ATANGAZA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2015..MMHH



Habari tulizozipata zinasema kuwa gwiji la sanaa za vichekesho nchini, Amri Athumani 'King Majuto' ametangaza kugombea ubunge kwa 2015.

Muigizaji huyu mkongwe mzee Majuto ametangaza kugombea ubunge jimbo la Tanga mjini.

Majuto mwenye umri zaidi ya miaka 60 ametangaza nia yake hiyo alipohojiwa na Clouds, na akadai atagombea kupitia CCM.

Bado tunamtafuta mzee majuto ili aweze kututhibitishia kama habari hizi ni kwa kweli au la na kama ni kweli ana mipango gani na jimbo hilo la Tanga mjini.


Je, kama ni kweli, unahisi ataweza ? Tupe maoni yako

Tags: ,

0 Responses to “MZEE MAJUTO ATANGAZA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2015..MMHH”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI