Friday, October 18, 2013

"NILISHAWAHI KUROGWA NA NAAMINI USHIRIKINA UPO....." WEMA SEPETU




STAA wa filamu za Kibongo Wema Sepetu amefunguka kuwa katika maisha yake aliwahi kufanyiwa mambo ya ushirikina(kurogwa) bila kufafanua alirogwa na nani na alipatwa na nini au ugonjwa gani. 

Wema amefunguka kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa kila jumatano kupitia East African TV ambapo aliulizwa kama kama anaamini ushirikina upon a kama alishawahi kurogwa ambapo alijibu kuwa anaamini ushrikina upo ila haupi nafasi katika maisha yake kwani anamuamini Mungu.

‘Yaah!Nilishawahi kurogwa na naamini ushirikina upo ila siupi nafasi katika maisha yangu namuamini Mungu tu,’alisema Wema

Tags:

0 Responses to “"NILISHAWAHI KUROGWA NA NAAMINI USHIRIKINA UPO....." WEMA SEPETU”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI