Thursday, November 21, 2013

HATIMAYE WASTARA APATA MCHUMBA WA KUMUOWA SOMA HAPA NI NANI HUYOOOO!!!!







Na Mayasa Mariwata

MSANII wa filamu Bongo, Deogratus Shija ameshauriwa amuoe msanii mwenzake, Wastara Juma aliyekuwa mke wa

rafiki yake, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, baada ya


kufunguka kuwa hajampata mwanamke aliyetulia.



Wastara.

Ushauri huo uliibuka kwenye mtandao wa Face book hivi karibuni ambapo, awali msanii huyo aliandika ‘status’ iliyoeleza sababu za kutooa mapema licha ya kuwa umri unamruhusu ndipo wadau walipoanza kumshauri amuoe Wastara.

Mdau mmoja aitwae Milian Kopa alitupia ujumbe usemao:

”Muoe Wastara Shija, ya nini uhangaike wakati kila mmoja anatambua yule ni mke mwema.” Shija hakufunguka chochote juu ya ushauri huo ulioungwa mkono na wadau wengi.

Tags:

0 Responses to “HATIMAYE WASTARA APATA MCHUMBA WA KUMUOWA SOMA HAPA NI NANI HUYOOOO!!!!”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI