Saturday, November 30, 2013
TAZAMA PICHA KILICHOTOKEA JANA KATIKA FAINAL YA KUMSAKA MSHINDI WA EBSS 2013..!!
Saturday, November 30, 2013 by Unknown
Kinyanganyiro
cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013
kimekamilika alfajiri hii kwenye ukumbi wa Escape 1.
cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo Star Search 2013
kimekamilika alfajiri hii kwenye ukumbi wa Escape 1.
Mashindano
haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na wasanii mbalimbali
wakiwemo Barnaba,Makomando,Young Killer,water chilambo,Shaa,Kimbunga na
Snura.
haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na wasanii mbalimbali
wakiwemo Barnaba,Makomando,Young Killer,water chilambo,Shaa,Kimbunga na
Snura.
Katika mashindano haya ambayo yalikua na jumla ya washiriki watano
ambao ni Amina Chibaba,Elizabeth Mwakijambile,Emmanuel Msuya,Maina
Thadei na Melisa John,ambao walipita kwa round tatu kisha majaji
kuwapunguza watatu na kisha kubakia Emanuel Msuya na Elizabeth
Mwakijambile katika Round ya 4 na ya mwisho.
ambao ni Amina Chibaba,Elizabeth Mwakijambile,Emmanuel Msuya,Maina
Thadei na Melisa John,ambao walipita kwa round tatu kisha majaji
kuwapunguza watatu na kisha kubakia Emanuel Msuya na Elizabeth
Mwakijambile katika Round ya 4 na ya mwisho.
Katika
round ya mwisho,Emmanuel Msuya ameibuka kidedea na kuwa Mshindi wa Epiq
Bongo Star Search 2013,akiwa ni mshiriki anaetokea Jijini Mwanza na
kumpokea taji water chilambo ambae alikua mshindi wa mwaka jana.
round ya mwisho,Emmanuel Msuya ameibuka kidedea na kuwa Mshindi wa Epiq
Bongo Star Search 2013,akiwa ni mshiriki anaetokea Jijini Mwanza na
kumpokea taji water chilambo ambae alikua mshindi wa mwaka jana.
Zawadi kwa mshindi wa mwaka huu ni Milion hamsini[50]ambayo kakabidhiwa jukwaani.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAZAMA PICHA KILICHOTOKEA JANA KATIKA FAINAL YA KUMSAKA MSHINDI WA EBSS 2013..!!”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.