Sunday, December 1, 2013
MAJANGA:KATIBU WA WILAYA YA CHUNYA CHADEMA AJIUNGA CCM
Sunday, December 1, 2013 by Unknown
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahmani Kinana akipiga makofi wakati Braison Mwasimba aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya aliporejesha kadi yake ya chama hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Lupa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahmani Kinana akipiga makofi wakati Braison Mwasimba aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya alikionyesha kadi yake ya chama cha Mapinduzi CCM baada ya kukabidhiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Lupa.
Mbunge wa jimbo la Songwe na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh Philip Mulugo akimvisha shati la CCM Bw. Braison Mwasimba aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya aliporejesha kadi yake ya chama hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi CCM katika mkutano wa hadhara kata ya Lupa.
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akimuangalia Bw. Braison Mwasimba aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya wakati akihutubia aliporejesha kadi yake ya chama hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi CCM katika mkutano wa hadhara kata ya Lupa.
GPL
Tags:
siasa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MAJANGA:KATIBU WA WILAYA YA CHUNYA CHADEMA AJIUNGA CCM”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.