Saturday, March 29, 2014

DUNIA INA MAMBO...ETI AUNT EZEKIEL ACHIZIKA KUPITA MAELEZO..KISA..BUSU LA MBWA...!!


DIVA wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameonekana kuchizika na busu la mbwa baada ya kunaswa akiwa amewabeba mbwa wawili na kufurahia mmoja wapo alipombusu. 
Diva wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel. Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Wema Sepetu, Kijitonyama, jijini Dar. Alipoulizwa furaha aliyokuwa nayo baada ya kubusiwa na mbwa huyo, Aunt alisema: “Haipimiki. Natamani na mimi kuwafuga.” My Blogger Tricks

Tags:

0 Responses to “DUNIA INA MAMBO...ETI AUNT EZEKIEL ACHIZIKA KUPITA MAELEZO..KISA..BUSU LA MBWA...!!”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI