Monday, March 17, 2014

HENRY KILEWO" WANAKALENGA TUNAJUA MAAMUZI YALIYOFANYIKA SIYO YENU BALI TUME YA UCHAGUZI NA POLISI"





Henry Kilewo Ameandika yafuatayo katika Ukurasa Wake wa Facebook kuhusu Uchaguzi wa Jana katika Jimbo la Kalenga Ambapo CCM waliibuka Washindi:

"Mapambano yanaendelea,hatujafa moyo, hatujahuzunika na wala hatutarudi nyuma, safari ndiyo inaanza kuwa na chachu ya mafanikio huku tukiendelea kuwa imara na kuimarika zaidi... wanakalenga tutaendelea kuongea na nyie na tunajua maamuzi yaliyofanyika yalikuwa siyo yenu bali Tume ya Taifa ya uchaguzi iliamua kuucheza mchezo mchafu pamoja na jeshi la polisi.

Hatujashindwa na kamwe hatutashindwa wala kukubali kushindwa pasipo na mazigira huru"

Tags:

0 Responses to “HENRY KILEWO" WANAKALENGA TUNAJUA MAAMUZI YALIYOFANYIKA SIYO YENU BALI TUME YA UCHAGUZI NA POLISI"”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI