Home
» udaku
» MAJANGAZ & BONGO:- MWANAMKE BAADA YA KUNASWA AKIVUNJA AMRI YA 6 YA MUNGU NA RAFIKI WA MUMEWE LIVE!!
Sunday, March 23, 2014
MAJANGAZ & BONGO:- MWANAMKE BAADA YA KUNASWA AKIVUNJA AMRI YA 6 YA MUNGU NA RAFIKI WA MUMEWE LIVE!!
Sunday, March 23, 2014 by Unknown
Tazama Picha mbalimbali jinsi Aibu ilivyomkuta huyu mama baada ya kufumaniwa na mume wa Mtu ambapo Mwanaume na mume wa rafiki yake






Sukari hugeuka shubiri pale fumanizi linapochukua nafasi na hiyo ndiyo sababu ya mwanamke anayeitwa Sheila kukiri kwamba mume wa mtu ni sumu kisha kujiapiza kuwa hatarudia tena.
Sheila, alifumwa na mume wa mtu anayeitwa Baba Joyce kwenye nyumba moja ya kulala wageni, iliyopo Manzese.
Mwanahabari alinyetishiwa fumanizi hilo baada ya vurugu kuanza na lilipofika eneo la tukio, lilimkuta mwenye mume, Mama Joyce akimsulubu Sheila kwa makonde, mateke na vichwa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MAJANGAZ & BONGO:- MWANAMKE BAADA YA KUNASWA AKIVUNJA AMRI YA 6 YA MUNGU NA RAFIKI WA MUMEWE LIVE!!”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.