Home
» celebrities
» MAPENZI MAPYAAAAAAA...!! RAY C KAFA KAOZA KWA PENZI LA DIAMOND PLATNUMZ, HAAMBIWI HASIKII, WEMA SEPETU KUMKOSA DIAMOND...!! SOMA HAPA
Sunday, March 23, 2014
MAPENZI MAPYAAAAAAA...!! RAY C KAFA KAOZA KWA PENZI LA DIAMOND PLATNUMZ, HAAMBIWI HASIKII, WEMA SEPETU KUMKOSA DIAMOND...!! SOMA HAPA
Sunday, March 23, 2014 by Unknown

Ray C
Msanii "kiuno bila mfupa" Rehema Chalamila. 'Ray C' anadaiwa kuwa bize na harakati za kumnasa sukari ya warembo Naseeb Abdul 'Diamond' katika anga za maoenzi huku duru za habari zikidai kuwa muda si mrefu kuanzia saaa yataandikwa mengi juu ya wawili hao
Mwandishi wetu alizungumza na rafiki wa karibu na Ray C hivi karibuni na kuambiwa kuwa muda mwingi jina la Diamond halikatiki mdomoni mwa mrembo huyo

Diamond Platnumz
Chanzo chetu cha habari kilizidi kudai kuwa kwa sasa Ray C hana furaha hadi atakapotimiza nia na lengo la kumnasa Diamond hapo ndipo furaha yake itakapotimu
Aidha habari zinazidi kudai kuwa mara kadhaa Ray C amekuwa akipanga Miadi ya kukutana na Diamond licha yakushindikana kwa apointiment hizo kila mara "kwasasa Ray C haambiwi kitu kwa Diamond, ana haha kila wakati kumweka mikononi mwake, hana furaha kabisa hadi lengo lake litakapotimia, na muda si mrefu mtaandika juu ya hao" alisema rafiki ea Karibu na Ray C

Wema sepetu
Mwandishi wetu aliwatafuta wawili hao kwa njia ya simu ambapo simu ya Ray C ilionekana kuwa bize muda mwingi huku Diamond akidai kutokuwa na taarifa juu ya madai hao "kaka mimi sina taarifa kabisa na habari hizo, kwangu Ray C namchukulia kama dada yangu" alisema Diamond.
Mwandishi wetu alipomtaka Diamond kufafanua hatua atakayochukua endapo mrembo huyo ataamua kumwambia anamtaka ambapo kwa haraka Diamond alisema "NO COMNENT (sina cha kujibu)" na kukata simuSHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKOTOA MAONI YAKO HAPA CHINI

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “MAPENZI MAPYAAAAAAA...!! RAY C KAFA KAOZA KWA PENZI LA DIAMOND PLATNUMZ, HAAMBIWI HASIKII, WEMA SEPETU KUMKOSA DIAMOND...!! SOMA HAPA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.