Thursday, November 21, 2013
KUWA MAKINI SANA NA MATUMIZI YA SIMU YAKO: SOMA HAPA YALIYO MKUTA DADA HUYU..!!
Thursday, November 21, 2013 by Unknown
Kama kawaida sikuhizi umeingia mtindo wa kuji fotoa mapicha kwa kutumia simu tena sio picha tu, bali ni picha za utupu huku ukidhani simu ni yako na ni kitu cha matumizi binafsi hivyo hakuna mtu atayeweza kuziona.
Dada huyu yamemkuta makubwa, ni pale alipoenda kucharge sim kwa jirani yake baada ya mahala anapoishi umemekukatika.
Kwa bahati mbaya kijana mmoja aliyekuwa akiishi nyumba hiyo aliona sim ngeni nyumbani hapo ikiwa inachajiwa na kuichukua kisha kuanza kuperuzi mara tu alipoingia kwenye gallery alikutana na picha za utupu kadhaa za dada huyo na kuanza kujihamishia moja baada ya nyingine.
HATARI SANA. CHUNGA SIMU YAKO..!!

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “KUWA MAKINI SANA NA MATUMIZI YA SIMU YAKO: SOMA HAPA YALIYO MKUTA DADA HUYU..!!”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.