Home
» burudani
» Picha: Wapenzi mapacha wa kiume na mapacha wa kike wa Nigeria, waingia kwenye ‘Guinness Book of World Records’ kwa kufunga ndoa siku moja
Thursday, December 5, 2013
Picha: Wapenzi mapacha wa kiume na mapacha wa kike wa Nigeria, waingia kwenye ‘Guinness Book of World Records’ kwa kufunga ndoa siku moja
Thursday, December 5, 2013 by Unknown
Couple mbili za mapacha wanne wanofanana (identical twins) wa Nigeria, wamefanya kile kinachoaminika kuwa ni cha kipekee na cha kwanza kuwahi kufanyika nchini humo, baada ya kufunga ndoa zao siku moja na kufanya sherehe moja.

Mapacha hao wa kiume (Febisola Kehinde Okunniyi na Chibuzor Adelakin Okueze) walifunga ndoa na wapenzi wao mapacha wa kike (Folawemi Taiwo Okunniyi na Chinonso Akinade Okueze) Jumamosi iliyopita (Nov 30) huko Lagos, Nigeria.


Mtandao wa Daily Star wa Nigeria umedai kuwa ndoa za mapacha hao wanne kwa pamoja huenda zikawa za kwanza kwa Afrika, na kwa mujibu wa maafisa wa kitabu cha rekodi za dunia ‘Guinness Book of World Records’, ni ya 251 duniani.
SOURCE: DAILY STAR

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “Picha: Wapenzi mapacha wa kiume na mapacha wa kike wa Nigeria, waingia kwenye ‘Guinness Book of World Records’ kwa kufunga ndoa siku moja”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.