Sunday, April 14, 2013
Danguro la Wasanii Dar Lafichuliwa ni zaidi ya Sodoma na Gomora
Kampeni ya Fichua Maovu inayoendeshwa na Global Publishers inazidi kuibua mazito! Safari hii imefanikiwa kunasa danguro la ufuska linalodaiwa kutumia na wasanii chipukizi wa muziki na filamu za Kibongo ambalo ni zaidi ya yale yaliyotendeka enzi za Sodoma kabla ya dunia kuangamia, Risasi Jumamosi lina ripoti ya kushtua.
Kwa muda mrefu gazeti hili lilipokea malalamiko ya majirani katika nyumba moja iliyopo Temeke, jijini Dar es Salaam kuwa kuna danguro linalotumiwa na mabinti chini ya umri wa miaka 18 kwa ajili ya kuchuuza miili yao kwa wanaume huku baadhi wakiwa ni wasanii chipukizi wa filamu na muziki wanaohangaika kutoka kisanaa.
Habari Kamili Ipo Katika Gazeti la Risasi la Global Publisher...

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
- KUNUKA KIKWAPA NA WEUSI KATIKATI YA MAPAJA YANGU VINANINYIMA RAHA
- FICHUA MAOVU TUNAENDELEZA::FACEBOOK YAINGILIWA NA MAKAHABA:CHEKI PICHA HAPA, JE NI SAWA KWA MADADA ZETU WANACHOKIFANYA FACEBOOK
- TAZAMA VIDEO ILIYOIMBWA YA WIMBO ULIYOIMBWA NA WASANII ZAIDI YA 19 WA AFRIKA, AKIWEMO DIAMOND. D-BANJ, FALLY IPUPA....!!
- NAHISI ANA MWANAMKE ZAIDI YANGU..NATAKA NIMFUMANIE KWA SUPRISE VISIT KWAKE
- KANGA MOKO, VIGODORO NA T-SHIRT NDEMBENDEMBE VYAOIGWA MARUFUKU MISS TANZANIA
- BABU YANGU WEEE!! WEMA SEPETU PRESHA INA PANDA NA KUSHUKA, KUMBE DIAMOND HAJAACHA TABIA YA KUCHEAT, SASA ANATOKA NA KIMADA MWINGINE,,,,TAARIFA TOKA TIMU UKWELI NA UWAZI TUNAYO...SOMA NA TAZAMA PICHAZ ZA KIMADA HAPA
- SNURA"NITAPUNGUZA VIUNO KATIKA VIDEO ZANGU ILA KWENYE SHOW NITAZIDISHA MAUNO"
- KAULI ZA MJINI WANASEMA MICHEPUKO SIO DEAL, KWANINI UIBE MKE WA MTU?? TULIA NA WAKO, CHECK HUYU ALIVO UMBUKA NA KUAIBIKA BAADA YA FUMANIZ....
- KUTANA NA MREMBO MWANACHUO MWENYE KALIO LA AJA AMBAYE, WATU WANAHISI ANALITUMIA KUFAHURU MITIHANI
- DUNIA INA MAMBO...ETI AUNT EZEKIEL ACHIZIKA KUPITA MAELEZO..KISA..BUSU LA MBWA...!!
0 Responses to “Danguro la Wasanii Dar Lafichuliwa ni zaidi ya Sodoma na Gomora”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.